Duniani Leo November 1, 2019
Msemaji wa waziri mkuu wa amesema takriban watu 78 wameuwawa katika maandamano wiki iliyopita dhidi ya ukandamizaji wa mwanaharakati maarufu, Jawar Mohammed Na gavana wa zamani wa Katanga Moise Katumbi Chapwe ametangaza kuunda chama chake cha upinzania chenye nia ya kuboresha maisha ya wananchi.
Matukio
-
Januari 16, 2021
Timu ya watafiti kutoka WHO ikiwasili Wuhan
-
Desemba 23, 2020
Malori ya Uingereza yazuiwa kuingia Ufaransa
-
Desemba 18, 2020
Kilichopatikana miaka 10 baada ya mapinduzi ya nchi za Kiarabu
-
Desemba 12, 2020
Wakimbizi waongezeka katika mji wa Pemba kaskazini mwa Msumbiji
Facebook Forum