Duniani Leo November 1, 2019
Msemaji wa waziri mkuu wa amesema takriban watu 78 wameuwawa katika maandamano wiki iliyopita dhidi ya ukandamizaji wa mwanaharakati maarufu, Jawar Mohammed Na gavana wa zamani wa Katanga Moise Katumbi Chapwe ametangaza kuunda chama chake cha upinzania chenye nia ya kuboresha maisha ya wananchi.
Matukio
-
Aprili 25, 2024
Asilimia 88 ya Wamarekani wanaunga mkono kuhalalishwa bhangi
-
Machi 26, 2024
Bobi Wine ang'aa kwenye jukwaa la kimataifa