Tanzania leo imeadhimsha miaka 20 tangu kifo cha muasisi wa taifa hilo, Mwalimu Julius Kambarage Nyerere. Kwa takriban juma zima lililopita kumekuwa na shughuli mbalimbali za kumuenzi kiongozi huyo aliyeongoza wapigania uhuru wengine kuikomboa Tanzania kutoka Ukoloni