Uchaguzi wa duru ya pili ya uchagzui wa rais wa Tunisia umefanyika bila ya matatizo kati ya wagombea wawili wepya katika siasa za nchi hiyo. Mfanya biashara mashuhuri Nabil Karoui na Mhadhir mtaalamu wa masuala ya katiba Kais Saied.
Duru ya pili ya uchaguzi wa Tunisia umekuwa na ushindani mkali

1
Wagombea wawili wa kiti cha rais Tunisia Nabil Karoui (kushoto) na Kais Saied (Kulia) wakipiga kura

2
Mpiga kura atia kidole wino baada ya kupiga kura

3
Wapiga kura washiriki katika duru ya pili ya uchaguzi wa rais Tunisia

4
Wanajeshi wanawake washika zamu nje ya kituo cha polisi
Makundi
- Afrika
- Marekani
- Afya
- Hali ya HIV/Ukimwi Afrika
- Uchaguzi Kenya 2013
- Kesi za Wakenya Mbele ya ICC
- Fainali za Kombe la Afrika 2015
- Ziara ya Rais Obama Kenya, Julai 23-26
- Tanzania Yaamua 2015
- Uchaguzi Marekani 2016
- Ziara ya Papa barani Afrika
- Uchaguzi Uganda 2016
- Mauaji Orlando
- YALI 2016
- Rio 2016
- AFCON 2017