No media source currently available
Aliyekuwa mbunge wa upinzani katika bunge la Tanzania, Tundu Lissu, ambaye alinusurika jaribio la kuuawa miaka miwili iliyopita anasema amesimamisha kwa sasa mpango wake wa kurejea nchini Tanzania mpaka hapo usalama wake utakapohakikishwa.
Ona maoni
Facebook Forum