Upatikanaji viungo

Breaking News
Alhamisi, Aprili 25, 2024 Local time: 13:19

China yatimiza miaka 70 ya ukomonisti


China yatimiza miaka 70 ya ukomonisti
please wait

No media source currently available

0:00 0:01:41 0:00

China imeadhimisha miaka 70 ya utawala wa kikomunisti kwa kufanya maonyesho makubwa ya silaha zake na uwezo wa jeshi mjini Beijing. Rais Xi Jinping ameongoza maadhimisho hayo, akiahidi maendeleo na hali ya utulivu na kusema hakuna nguvu zinaweza kuitikisa China.

XS
SM
MD
LG