Upatikanaji viungo

Breaking News
Jumamosi, Aprili 01, 2023 Local time: 10:29

Ugonjwa wa Sickle cell ni changamoto kubwa kwa waafrika


Ugonjwa wa Sickle cell ni changamoto kubwa kwa waafrika
please wait

No media source currently available

0:00 0:03:59 0:00

Ugonjwa wa selimundu, maarufu kama sickle cell anaemia kwa kiingereza, ni maradhi ya kurithi mamilioni ya watu kote duniani, hatari kubwa ikiwa katika mataifa ya Afrika yenye idadi kubwa ya maambukizi ya Malaria.

XS
SM
MD
LG