Upatikanaji viungo

Breaking News
Alhamisi, Aprili 25, 2024 Local time: 07:41

Duniani Leo September 27, 2019


Duniani Leo September 27, 2019
please wait

No media source currently available

0:00 0:30:01 0:00

Kundi la kwanza la wahamiaji wa kiafrika waliokwama Libya, limewasili Rwanda, katika juhudi zisizo za kawaida za kuwasaidia wakimbizi na watu wanaotafuta hifadhi, walioshindwa kuingia Ulaya. DRC yaomba msaada wa kimataifa kukabiliana na changamoto za kiusalama na Ebola.

XS
SM
MD
LG