Upatikanaji viungo

Breaking News
Ijumaa, Aprili 19, 2024 Local time: 08:40

Matumizi ya gesi asilia bado ni mdogo Tanzania


Matumizi ya gesi asilia bado ni mdogo Tanzania
please wait

No media source currently available

0:00 0:03:47 0:00

Matumizi ya gesi asilia yanaelezwa kama mojawapo ya vichocheo vya kukuza sekta ya Viwanda. Lakini nchini Tanzania takwimu zinaonyesha kwamba idadi ndogo sana ya watu wanatumia gesi hiyo asilia kama nishati, licha ya mikakati ya serikali kuimarisha ukuaji wa viwanda.

XS
SM
MD
LG