Upatikanaji viungo

Breaking News
Jumamosi, Aprili 20, 2024 Local time: 00:36

Wanafunzi nane wafa baada ya kuangukiwa na jengo Kenya


Wanafunzi nane wafa baada ya kuangukiwa na jengo Kenya
please wait

No media source currently available

0:00 0:04:14 0:00

Wanafunzi wanane wa shule ya msingi ya Precious Talent, katika mtaa wa Dagoreti jijini Nairobi, wamefariki baada ya kuangukiwa na jengo la shule. Wanafunzi wengine Zaidi ya 50 wamejeruhiwa katika tukio hilo la leo asubuhi,

XS
SM
MD
LG