Upatikanaji viungo

Breaking News
Ijumaa, Aprili 19, 2024 Local time: 08:05

Wafanyabiashara waandamana Mombasa


Wafanyabiashara waandamana Mombasa
please wait

No media source currently available

0:00 0:02:01 0:00

Wafanyabishara jijini Mombasa, Kenya wameandamana kwa mda wa Zaidi ya saa tano, kulalamikia hatua ya serikali ya nchi hiyo kuwashurutisha kusafirisha mizigo kutoka bandarini Mombasa hadi Nairobi kwa kutumia reli ya mwendo wa wastani - SGR.

XS
SM
MD
LG