Upatikanaji viungo

Breaking News
Alhamisi, Aprili 18, 2024 Local time: 17:10

Duniani Leo September 12, 2019


Duniani Leo September 12, 2019
please wait

No media source currently available

0:00 0:30:03 0:00

Familia ya aliyekuwa rais wa Zimbabwe Robert Mugabe, imesema mwili wa mwanasiasa huyo mkongwe, utazikwa kijijini kwake, katika mji wa Kutama. Na Rais wa Sudan Kusini na kiongozi wa upinzani Riek Machar waahidi kutatua utata baina yao na kuunda serikali ya umoja mwezi November.

XS
SM
MD
LG