Upatikanaji viungo

Breaking News
Jumamosi, Mei 04, 2024 Local time: 13:29

Ramaphosa alaavi vitendo vya mashambulizi ya chuki


Ramaphosa alaavi vitendo vya mashambulizi ya chuki
please wait

No media source currently available

0:00 0:03:51 0:00

Rais wa Afrika kusini, Cyril Ramaphosa amelaani vitendo vya uporaji wa mali ulofanyika mapema wiki hii pamoja na mashambulizi na kuchomwa moto maduka ya wafanyabiashara wa kigeni Jijini Johannesburg na mji mkuu Pretoria.

XS
SM
MD
LG