Duniani leo September 3, 2019
Wataalam wa kilimo na viongozi kutoka nchi mbali mbali za Afrika wanakutana Accra, Ghana kwa kongamano la mabadiliko katika kilimo AGRF, la mwaka 2019. Chama cha upinzani nchini Afrika kusini cha Economic freedom fighters - EFF, kimelaani vikali mashambulio ya chuki dhidi ya wageni nchini humo.
Matukio
-
Februari 10, 2023
Hotuba ya Hali ya Kitaifa: Biden azungumzia mvutano na China
-
Februari 06, 2023
Marekani: Rais Biden atatoa Hotuba ya Hali ya Kitaifa 2023
Facebook Forum