Duniani Leo August, 27 2019
Mkurugenzi mkuu wa Hong Kong Carrie Lam amesema leo yuko tayari kufanya majadiliano na waandamanaji lakini serikali haitapuuzia ghasia. Rais wa Iran, Hassan Rouhani, amesema hayuko tayari kwa mazungumzo yoyote na Marekani, hadi pale utawala wa Trump, utakapoondoa vikwazo vilivyowekewa nchi yake.
Matukio
-
Machi 14, 2025Changamoto za ulezi wa watoto walemavu kiakili Kenya
-
Februari 27, 2025Ethiopia na Somalia waimarisha uhusiano wao
-
Februari 25, 2025Tunamulika umuhimu wa utunzaji afya ya moyo
-
Februari 07, 2025Ugonjwa wa kifafa na changamoto zake katika jamii.