Mkutano wa G7 ufanyika nchini Ufaransa
Mkutano wa viongozi wa mataifa 7 tajiri dunaini G7 ulimalizika jana nchini ufaransa huku ikionekana kama Rais Donald Trump wa Marekani hakuweza kukubaliana na wenzake kuhusu masuala muhimu ikiwa ni pamoja na vita vya biashara kati ya Marekani na Uchina, namna ya kukabiliana na masuala ya nuklia ya Iran na Korea kaskazini hadi suala la kuirudisha Rushia katika kundi hilo.
Matukio
-
Januari 16, 2021
Timu ya watafiti kutoka WHO ikiwasili Wuhan
-
Desemba 23, 2020
Malori ya Uingereza yazuiwa kuingia Ufaransa
-
Desemba 18, 2020
Kilichopatikana miaka 10 baada ya mapinduzi ya nchi za Kiarabu
-
Desemba 12, 2020
Wakimbizi waongezeka katika mji wa Pemba kaskazini mwa Msumbiji
Facebook Forum