Madaktari wasaidia wahanga wa moto Mombasa
Jijini Mombasa, Kenya, Hospitali za kibinafsi na mashirika ya kimataifa ya madaktari wataalamu wa upasuaji wanaendelea na jitihada za kuwasaidia wahanga wa matukio ya moto, ukatili wa majumbani, aina tofauti za ajali, ambazo husababisha watu wengi hasa watoto na wanawake kuishi na ulemavu
Matukio
-
Februari 06, 2023
Marekani: Rais Biden atatoa Hotuba ya Hali ya Kitaifa 2023
-
Januari 07, 2023
DRC: Waasi wa M23 wamekubali kuondoka Rumangabo
Facebook Forum