Upatikanaji viungo

Breaking News
Jumapili, Februari 22, 2026 Local time: 03:47

Wahamiaji 100 waliokuwa kwenye meli ya wahisani wafika Italia


Wahamiaji 100 waliokuwa kwenye meli ya wahisani wafika Italia
please wait

No media source currently available

0:00 0:01:33 0:00

Karibu wahamiaji 100 waliokuwa wamekwama baharini kwenye meli ya kutoa msaada ya Open arms, pwani ya Lampedusa, hatimaye wameshuka kutoka kwenye meli hiyo katika kisiwa cha Italia, jumanne usiku.

XS
SM
MD
LG