Ni miaka 400 tangu watumwa wa kwanza kuwasili Marekani
Mwaka huu, unaadhimisha miaka 400 tangu waafrika wa kwanza waliofanywa watumwa kuwasili ardhi ya marekani. Kuwasili katika koloni la uingereza la Virginia wakati huo kwa meli iliyokuwa imebeba waafrika kutoka angola ilikuwa ndio mwanzo wa zaidi ya miaka 200 ya biashara ya utumwa marekani
Matukio
-
Februari 06, 2023
Marekani: Rais Biden atatoa Hotuba ya Hali ya Kitaifa 2023
-
Januari 07, 2023
DRC: Waasi wa M23 wamekubali kuondoka Rumangabo
Facebook Forum