Ni miaka 400 tangu watumwa wa kwanza kuwasili Marekani
Mwaka huu, unaadhimisha miaka 400 tangu waafrika wa kwanza waliofanywa watumwa kuwasili ardhi ya marekani. Kuwasili katika koloni la uingereza la Virginia wakati huo kwa meli iliyokuwa imebeba waafrika kutoka angola ilikuwa ndio mwanzo wa zaidi ya miaka 200 ya biashara ya utumwa marekani
Matukio
-
Desemba 23, 2020
Malori ya Uingereza yazuiwa kuingia Ufaransa
-
Desemba 18, 2020
Kilichopatikana miaka 10 baada ya mapinduzi ya nchi za Kiarabu
-
Desemba 12, 2020
Wakimbizi waongezeka katika mji wa Pemba kaskazini mwa Msumbiji
-
Desemba 11, 2020
Rais Mteule wa Marekani Joe Biden amtangaza waziri wa ulinzi
Facebook Forum