Upatikanaji viungo

Breaking News
Alhamisi, Aprili 18, 2024 Local time: 13:20

Benki ya maziwa ya mama yafunguliwa Mombasa


Benki ya maziwa ya mama yafunguliwa Mombasa
please wait

No media source currently available

0:00 0:03:48 0:00

Wataalam wanasema maziwa ya mama yana uwezo mkubwa wa kuokoa maisha ya watoto wanaozaliwa.Hospitali ya uzazi ya Pumwani, nchini Kenya imeunda hifadhi kubwa ya maziwa ya mama Afrika mashariki, ambayo pia ni ya pili kwa ukubwa barani Afrika,

XS
SM
MD
LG