Wagombea wanaowania tiketi ya Democrat waelezea jinsi ya kumshinda Trump
Wagombea urais kupitia chama cha Democrat Marekani walifungua raundi ya pili ya mdahalo mjini Detroit, Michigan, kwa mfululizo wa mashambulizi dhidi ya rais Donald Trump. Lakini wademokrat hao 10 wa kwanza pia washambuliana katika sera zao , wote wakiwania ugombea wa chama hicho mwakani.
Matukio
-
Machi 14, 2025Changamoto za ulezi wa watoto walemavu kiakili Kenya
-
Februari 27, 2025Ethiopia na Somalia waimarisha uhusiano wao
-
Februari 25, 2025Tunamulika umuhimu wa utunzaji afya ya moyo
-
Februari 07, 2025Ugonjwa wa kifafa na changamoto zake katika jamii.