Upatikanaji viungo

Breaking News
Jumatano, Mei 08, 2024 Local time: 15:14

Wagombea wanaowania tiketi ya Democrat waelezea jinsi ya kumshinda Trump


Wagombea wanaowania tiketi ya Democrat waelezea jinsi ya kumshinda Trump
please wait

No media source currently available

0:00 0:05:49 0:00

Wagombea urais kupitia chama cha Democrat Marekani walifungua raundi ya pili ya mdahalo mjini Detroit, Michigan, kwa mfululizo wa mashambulizi dhidi ya rais Donald Trump. Lakini wademokrat hao 10 wa kwanza pia washambuliana katika sera zao , wote wakiwania ugombea wa chama hicho mwakani.

XS
SM
MD
LG