Wagombea wanaowania tiketi ya Democrat waelezea jinsi ya kumshinda Trump
Wagombea urais kupitia chama cha Democrat Marekani walifungua raundi ya pili ya mdahalo mjini Detroit, Michigan, kwa mfululizo wa mashambulizi dhidi ya rais Donald Trump. Lakini wademokrat hao 10 wa kwanza pia washambuliana katika sera zao , wote wakiwania ugombea wa chama hicho mwakani.
Matukio
-
Januari 16, 2021
Timu ya watafiti kutoka WHO ikiwasili Wuhan
-
Desemba 23, 2020
Malori ya Uingereza yazuiwa kuingia Ufaransa
-
Desemba 18, 2020
Kilichopatikana miaka 10 baada ya mapinduzi ya nchi za Kiarabu
-
Desemba 12, 2020
Wakimbizi waongezeka katika mji wa Pemba kaskazini mwa Msumbiji
Facebook Forum