Upatikanaji viungo

Breaking News
Alhamisi, Machi 28, 2024 Local time: 16:24

Duniani Leo July, 30 2019


Duniani Leo July, 30 2019
please wait

No media source currently available

0:00 0:29:56 0:00

Polisi waTanzania wamethibitisha leo kuwa wanamshikilia mwandishi wa habari Eric Kabendera ambaye jana iliripotiwa kuwa amechukuliwa na watu wasiojulikana. Hali bado si shwari katika jela moja kaskazini mwa Brazil ambako takriban wafungwa 57 wameuwawa wakati wa ghasia jumatatu.

XS
SM
MD
LG