Mradi wa umeme wazinduliwa Tanzania
Ujenzi wa mradi mkubwa wa kufua umeme wa maji katika eneo bonde la mto Rufiji nchini Tanzania umeelezewa kuwa moja ya vielelezo vya kwamba nchi za Afrika zinaweza kutekeleza miradi mikubwa kama hiyo zenyewe na hivyo jumuiya za kimataifa kutakiwa kuunga mkono juhudi za maendeleo barani humo.
Matukio
-
Desemba 23, 2020
Malori ya Uingereza yazuiwa kuingia Ufaransa
-
Desemba 18, 2020
Kilichopatikana miaka 10 baada ya mapinduzi ya nchi za Kiarabu
-
Desemba 12, 2020
Wakimbizi waongezeka katika mji wa Pemba kaskazini mwa Msumbiji
-
Desemba 11, 2020
Rais Mteule wa Marekani Joe Biden amtangaza waziri wa ulinzi
Facebook Forum