Mradi wa umeme wazinduliwa Tanzania
Ujenzi wa mradi mkubwa wa kufua umeme wa maji katika eneo bonde la mto Rufiji nchini Tanzania umeelezewa kuwa moja ya vielelezo vya kwamba nchi za Afrika zinaweza kutekeleza miradi mikubwa kama hiyo zenyewe na hivyo jumuiya za kimataifa kutakiwa kuunga mkono juhudi za maendeleo barani humo.
Matukio
-
Machi 14, 2025Changamoto za ulezi wa watoto walemavu kiakili Kenya
-
Februari 27, 2025Ethiopia na Somalia waimarisha uhusiano wao
-
Februari 25, 2025Tunamulika umuhimu wa utunzaji afya ya moyo
-
Februari 07, 2025Ugonjwa wa kifafa na changamoto zake katika jamii.