Hatimaye Mueller afananua ripoti yake mbele ya kamati za bunge
Baada ya aliyekuwa mwendesha mashtaka maalum wa Marekani, Robert Mueller, kufika mbele ya kamati mbili za baraza la wawakilishi za Congress hapa Washington jumatano, wanasiasa wa mirengo yote miwili ya Republican na Democratic, wanatafakari ni nini kitakachofuata, huku wakiendelea kutoa hisia mseto,
Matukio
-
Machi 14, 2025Changamoto za ulezi wa watoto walemavu kiakili Kenya
-
Februari 27, 2025Ethiopia na Somalia waimarisha uhusiano wao
-
Februari 25, 2025Tunamulika umuhimu wa utunzaji afya ya moyo
-
Februari 07, 2025Ugonjwa wa kifafa na changamoto zake katika jamii.