Hatimaye Mueller afananua ripoti yake mbele ya kamati za bunge
Baada ya aliyekuwa mwendesha mashtaka maalum wa Marekani, Robert Mueller, kufika mbele ya kamati mbili za baraza la wawakilishi za Congress hapa Washington jumatano, wanasiasa wa mirengo yote miwili ya Republican na Democratic, wanatafakari ni nini kitakachofuata, huku wakiendelea kutoa hisia mseto,
Matukio
-
Desemba 23, 2020
Malori ya Uingereza yazuiwa kuingia Ufaransa
-
Desemba 18, 2020
Kilichopatikana miaka 10 baada ya mapinduzi ya nchi za Kiarabu
-
Desemba 12, 2020
Wakimbizi waongezeka katika mji wa Pemba kaskazini mwa Msumbiji
-
Desemba 11, 2020
Rais Mteule wa Marekani Joe Biden amtangaza waziri wa ulinzi
Facebook Forum