Upatikanaji viungo

Breaking News
Jumamosi, Aprili 01, 2023 Local time: 10:45

Duniani Leo July 22, 2019


Duniani Leo July 22, 2019
please wait

No media source currently available

0:00 0:30:00 0:00

Baadhi ya viongozi na wanachama wa Chama tawala cha Tanzania CCM, wameingia katika malumbano Kufuatia waraka uliotolewa na makatibu wakuu wastaafu wa chama hicho. Na wabunge wa chama cha republican watamuuliza maswali mwendesha mashitaka maalum Robert Mueller atakapotoa ushahidi wiki hii.

XS
SM
MD
LG