Wakimbizi kupatiwa ufumbuzi wa chakula Tanzania
Shirika la Mpango wa chakula Duniani WFP limesema linafanya utaratibu kwa kushirikiana na Serikali ya Tanzania wa kununua mazao ya chakula tofauti kutoka kwa wakulima wa ndani kama mojawapo ya hatua za kukabiliana na changamoto ya kutoa aina moja ya chakula kwa wakimbizi kwa muda mrefu.
Matukio
-
Machi 14, 2025Changamoto za ulezi wa watoto walemavu kiakili Kenya
-
Februari 27, 2025Ethiopia na Somalia waimarisha uhusiano wao
-
Februari 25, 2025Tunamulika umuhimu wa utunzaji afya ya moyo
-
Februari 07, 2025Ugonjwa wa kifafa na changamoto zake katika jamii.