Viongozi wa wapenda demokrasia na wanajeshi watiliana saini Sudan
Vuguvuru la Kundi la wapenda demokrasia Sudan na baraza la kijeshi linalotawala wametiliana saini makubaliano mapema leo yanayoeleza mpango wa ushirikiano wa madaraka lakini pande zote mbili bado zinafanyia kazi makubalianho muhimu ya kikatiba ambayo yatafanunua kuhusu ushirikiano wa madaraka.
Matukio
-
Machi 14, 2025Changamoto za ulezi wa watoto walemavu kiakili Kenya
-
Februari 27, 2025Ethiopia na Somalia waimarisha uhusiano wao
-
Februari 25, 2025Tunamulika umuhimu wa utunzaji afya ya moyo
-
Februari 07, 2025Ugonjwa wa kifafa na changamoto zake katika jamii.