Upatikanaji viungo

Breaking News
Alhamisi, Machi 28, 2024 Local time: 14:22

"The Squad" wamjibu rais Trump


"The Squad" wamjibu rais Trump
please wait

No media source currently available

0:00 0:03:55 0:00

Wanawake wanne wabunge wa Demokratic wanaojulikana kama “ the Squad” wamemshutumu rais Donald Trump kwa kuleta mgawanyiko nchini na kujaribu kuvuruga msimamo wao wa kuonyesha sera za uhamiaji, huduma za afya , na kodi kuwa zimeshindwa.

XS
SM
MD
LG