Duniani Leo July 12th, 2019
Msemaji wa baraza la kijeshi linaloongoza Sudan amesema vikosi vya usalama vinawasaka maafisa zaidi walioshiriki katika jaribio la mapinduzi. Maafisa wa uhamiaji Marekani wanaanza msako jumapili hii kuwalenga takriban watu 2000 wasiokuwa na vibali ambao tayari wamepewa agizo la kuondoka nchini.
Matukio
-
Machi 14, 2025Changamoto za ulezi wa watoto walemavu kiakili Kenya
-
Februari 27, 2025Ethiopia na Somalia waimarisha uhusiano wao
-
Februari 25, 2025Tunamulika umuhimu wa utunzaji afya ya moyo
-
Februari 07, 2025Ugonjwa wa kifafa na changamoto zake katika jamii.