Duniani Leo July 12th, 2019
Msemaji wa baraza la kijeshi linaloongoza Sudan amesema vikosi vya usalama vinawasaka maafisa zaidi walioshiriki katika jaribio la mapinduzi. Maafisa wa uhamiaji Marekani wanaanza msako jumapili hii kuwalenga takriban watu 2000 wasiokuwa na vibali ambao tayari wamepewa agizo la kuondoka nchini.
Matukio
-
Januari 21, 2021
Sherehe za kuapishwa Joseph Biden Rais wa 46 wa Marekani
-
Januari 16, 2021
Timu ya watafiti kutoka WHO ikiwasili Wuhan
-
Desemba 23, 2020
Malori ya Uingereza yazuiwa kuingia Ufaransa
-
Desemba 18, 2020
Kilichopatikana miaka 10 baada ya mapinduzi ya nchi za Kiarabu
Facebook Forum