Duniani leo July 9, 2019
Umoja wa mataifa umesema mlipuko wa ugonjwa wa kipindupindu , Yemen unazidi kuwa mbaya huku kukiwa na upungufu wa fedha kwa ajili ya kupambana na ugonjwa huo. Na Rais wa Marekani Donald Trump amesema hatoshirikiana tena na balozi wa Uingereza mjini Washington baada ya kutofautiana muelekeo.
Matukio
-
Januari 21, 2021
Sherehe za kuapishwa Joseph Biden Rais wa 46 wa Marekani
-
Januari 16, 2021
Timu ya watafiti kutoka WHO ikiwasili Wuhan
-
Desemba 23, 2020
Malori ya Uingereza yazuiwa kuingia Ufaransa
-
Desemba 18, 2020
Kilichopatikana miaka 10 baada ya mapinduzi ya nchi za Kiarabu
Facebook Forum