Duniani Leo July 1, 2019
Rais Donald Trump nyumbani baada ya ziara ya siku tano. Trump alikohudhuria mkutano wa mataifa yaliyostawi Zaidi kiviwanda, G20. Pia alitembelea Korea Kaskazini na Korea Kusini. Watu watano wameuwawa na wengine wamejeruhiwa katika maandamanao yanayoendelea kupinga utawala wa kijeshi nchini Sudani
Matukio
-
Machi 14, 2025Changamoto za ulezi wa watoto walemavu kiakili Kenya
-
Februari 27, 2025Ethiopia na Somalia waimarisha uhusiano wao
-
Februari 25, 2025Tunamulika umuhimu wa utunzaji afya ya moyo
-
Februari 07, 2025Ugonjwa wa kifafa na changamoto zake katika jamii.