Duniani Leo July 1, 2019
Rais Donald Trump nyumbani baada ya ziara ya siku tano. Trump alikohudhuria mkutano wa mataifa yaliyostawi Zaidi kiviwanda, G20. Pia alitembelea Korea Kaskazini na Korea Kusini. Watu watano wameuwawa na wengine wamejeruhiwa katika maandamanao yanayoendelea kupinga utawala wa kijeshi nchini Sudani
Matukio
-
Januari 16, 2021
Timu ya watafiti kutoka WHO ikiwasili Wuhan
-
Desemba 23, 2020
Malori ya Uingereza yazuiwa kuingia Ufaransa
-
Desemba 18, 2020
Kilichopatikana miaka 10 baada ya mapinduzi ya nchi za Kiarabu
-
Desemba 12, 2020
Wakimbizi waongezeka katika mji wa Pemba kaskazini mwa Msumbiji
Facebook Forum