Upatikanaji viungo

Breaking News
Jumanne, Aprili 23, 2024 Local time: 09:44

Uganda na China wakutana kuimarisha uhusiano wa kibiashara


Uganda na China wakutana kuimarisha uhusiano wa kibiashara
please wait

No media source currently available

0:00 0:02:49 0:00

Mkutano wa utekelezaji wa maazimio yaliyofikiwa wakati wa kongamano la ushirikiano kati ya China na Africa – FOCAC, umemalizika mjini Beijing. Rais Xi Jinping ametuma barua ya kupongeza pande zote mbili katika mkutano huo.

XS
SM
MD
LG