Zulia Jekundu Episode 227
Jay Z ameingia katika kundi la mabilionea duniani, na kuwa mwanamuziki wa kwanza wa Hip hop mwenye sifa hiyo, naye Rihanna amekuwa mwanamuziki kike tajiri duniani. Mchekeshaji Ramy Youssef aelezea kwa nini ametengenza kipindi cha television ambacho kinaangazaia waislam waarabu waishio Marekani.
Matukio
-
Desemba 23, 2020
Malori ya Uingereza yazuiwa kuingia Ufaransa
-
Desemba 18, 2020
Kilichopatikana miaka 10 baada ya mapinduzi ya nchi za Kiarabu
-
Desemba 12, 2020
Wakimbizi waongezeka katika mji wa Pemba kaskazini mwa Msumbiji
-
Desemba 11, 2020
Rais Mteule wa Marekani Joe Biden amtangaza waziri wa ulinzi
Facebook Forum