Zulia Jekundu Episode 227
Jay Z ameingia katika kundi la mabilionea duniani, na kuwa mwanamuziki wa kwanza wa Hip hop mwenye sifa hiyo, naye Rihanna amekuwa mwanamuziki kike tajiri duniani. Mchekeshaji Ramy Youssef aelezea kwa nini ametengenza kipindi cha television ambacho kinaangazaia waislam waarabu waishio Marekani.
Matukio
-
Februari 06, 2023
Marekani: Rais Biden atatoa Hotuba ya Hali ya Kitaifa 2023
-
Januari 07, 2023
DRC: Waasi wa M23 wamekubali kuondoka Rumangabo
Facebook Forum