Duniani leo June 5, 2019
Maafisa wa Marekani na Mexico wameonya kwamba iwapo hatua ya kuongeza ushuru kwa bidhaa za Mexico, itaanza kutekelezwa, itaathiri uchumi wa mataifa hayo mawili. Rais Donald Trump anatembelea kituo cha jeshi la majini cha Portsmouth, kusini mwa Uingereza, moja ya maadhimisho ya siku D day
Matukio
-
Januari 16, 2021
Timu ya watafiti kutoka WHO ikiwasili Wuhan
-
Desemba 23, 2020
Malori ya Uingereza yazuiwa kuingia Ufaransa
-
Desemba 18, 2020
Kilichopatikana miaka 10 baada ya mapinduzi ya nchi za Kiarabu
-
Desemba 12, 2020
Wakimbizi waongezeka katika mji wa Pemba kaskazini mwa Msumbiji
Facebook Forum