Upatikanaji viungo

Breaking News
Ijumaa, Aprili 19, 2024 Local time: 15:43

Sudan kuitisha uchaguzi mwezi wa tisa


Sudan kuitisha uchaguzi mwezi wa tisa
please wait

No media source currently available

0:00 0:03:07 0:00

Mkuu wa baraza la mpito la kijeshi linalotawala Sudan amefuta makubaliano alofikia pamoja na waandamanaji na upinzani na kuitisha uchaguzi mkuu katika kipindi cha miezi 9 ijayo.

XS
SM
MD
LG