No media source currently available
Migahawa ya Washington DC, inafanya juhudi kubadili mwenendo wao wa kutoa huduma kwa wateja ili kuhakikisha kuwa waislamu ambao wanafunga katika mwezi huu mtukufu, nao pia wanatiliwa maanani katika kupata vyakula kwenye migahawa hiyo
Ona maoni
Facebook Forum