Upatikanaji viungo

Breaking News
Jumanne, Machi 19, 2024 Local time: 05:41

Mauaji ya albino hushamiri vipindi vya uchaguzi Malawi


Mauaji ya albino hushamiri vipindi vya uchaguzi Malawi
please wait

No media source currently available

0:00 0:04:07 0:00

Mauaji ya albino nchini Malawi limekuwa ni suala katika kampeni kwa ajili ya uchaguzi wa kitaifa utakaofanyika kesho Jumanne. Upinzani unaishutumu serikali kwa kutochukua hatua za kutosha kuzuia utekaji nyara na mauaji kwa albino.

XS
SM
MD
LG