Duniani Leo May 17, 2019
Makamu wa rais wa Marekani yuko katika nafasi ya juu miongoni mwa wademokrat wanaowania uteuzi wa kugombea urais mwaka 2020. Ofisi ya maadili ya serikali ya Marekani imesema kuwa biashara za Rais Donald mwaka uliopita zilipata mamilioni ya dola swala ambalo linaibua maswali ya iwapo ni kutokana na faida kutoka kwa maafisa wa serikali na kutoka mataifa ya nje.
Matukio
-
Januari 16, 2021
Timu ya watafiti kutoka WHO ikiwasili Wuhan
-
Desemba 23, 2020
Malori ya Uingereza yazuiwa kuingia Ufaransa
-
Desemba 18, 2020
Kilichopatikana miaka 10 baada ya mapinduzi ya nchi za Kiarabu
-
Desemba 12, 2020
Wakimbizi waongezeka katika mji wa Pemba kaskazini mwa Msumbiji
Facebook Forum