No media source currently available
Tukielekea huko DRC manusura wa ajali ya Boti katika ziwa Kivu mashariki mwa Congo wameiomba serikali kuwapa abiria vifaa vya kuwasaidia wakati wa ajali za Boti majini kwani boti nyingi zinatembea bila vifaa maalumu vya kuwasaidia wakati wa ajali
Ona maoni
Facebook Forum