Joe Biden aongoza katika kinyanganyiro cha kugombea urais ndani ya chama cha Demokratik
Wakati macho na masikio sasa yanaelekezwa katika siasa za uchaguzi mkuu utakaofanyika mwaka ujao , Makamu wa Rais wa zamani wa Marekani Joe Biden anaongoza katika kinyanganyiro cha kugombea tiketi ya urais ndani ya chama cha Demokratik kwa mujibu wa kura mpya za maoni zilizotolewa wiki hii.
Matukio
-
Januari 21, 2021
Sherehe za kuapishwa Joseph Biden Rais wa 46 wa Marekani
-
Januari 16, 2021
Timu ya watafiti kutoka WHO ikiwasili Wuhan
-
Desemba 23, 2020
Malori ya Uingereza yazuiwa kuingia Ufaransa
-
Desemba 18, 2020
Kilichopatikana miaka 10 baada ya mapinduzi ya nchi za Kiarabu
Facebook Forum