Upatikanaji viungo

Breaking News
Alhamisi, Aprili 25, 2024 Local time: 01:46

Joe Biden aongoza katika kinyanganyiro cha kugombea urais ndani ya chama cha Demokratik


Joe Biden aongoza katika kinyanganyiro cha kugombea urais ndani ya chama cha Demokratik
please wait

No media source currently available

0:00 0:03:49 0:00

Wakati macho na masikio sasa yanaelekezwa katika siasa za uchaguzi mkuu utakaofanyika mwaka ujao , Makamu wa Rais wa zamani wa Marekani Joe Biden anaongoza katika kinyanganyiro cha kugombea tiketi ya urais ndani ya chama cha Demokratik kwa mujibu wa kura mpya za maoni zilizotolewa wiki hii.

XS
SM
MD
LG