Washington Bureau
Wagombea urais kutoka kwa chama cha demokrat walitokea kwa kundi kubwa kabisa mwaka huu. Makamu rais wa zamazni Joe Bidden ni mgombea wa mwisho wii hii kujiunga na kundi hilo la wanasiasa 20 wanaotaka kumuondoa Rais Donald Trump anaeonekana atakua mwakilishi wa chama chake cha Republican.