Duniani Leo April 24, 2019
Wadau wa sekta ya biashara kutoka nchi za umoja wa Afrika AU wanakutana Arusha Tanzania kwa mafunzo maalumu ya namna ya kufungua milango ya kibiashara baina za nchi . Waisslamu wa Sri Lanka wanaeleza wasiwasi wa ulipizaji kisasi kutuatia mashambulio ya mabomu yaliotokea siku ya sikuu ya pasaka
Matukio
-
Desemba 23, 2020
Malori ya Uingereza yazuiwa kuingia Ufaransa
-
Desemba 18, 2020
Kilichopatikana miaka 10 baada ya mapinduzi ya nchi za Kiarabu
-
Desemba 12, 2020
Wakimbizi waongezeka katika mji wa Pemba kaskazini mwa Msumbiji
-
Desemba 11, 2020
Rais Mteule wa Marekani Joe Biden amtangaza waziri wa ulinzi
Facebook Forum