Duniani Leo April 17, 2019
Waandamanaji wa Sudan wameendelea na maambamano wakitaka viongozi wa kijeshi kuacha madaraka mara moja na kutayarisha njia ya kuwepo utawala wa mpito wa kiraia. Rais wa Jamhuri ya kidemokrasia ya Congo Felix Tshisekedi awataka wananchi waliokuwa na ugonjwa wa ebola kuwa na imani na wauuguzi.
Matukio
-
Machi 14, 2025Changamoto za ulezi wa watoto walemavu kiakili Kenya
-
Februari 27, 2025Ethiopia na Somalia waimarisha uhusiano wao
-
Februari 25, 2025Tunamulika umuhimu wa utunzaji afya ya moyo
-
Februari 07, 2025Ugonjwa wa kifafa na changamoto zake katika jamii.