Duniani Leo April 17, 2019
Waandamanaji wa Sudan wameendelea na maambamano wakitaka viongozi wa kijeshi kuacha madaraka mara moja na kutayarisha njia ya kuwepo utawala wa mpito wa kiraia. Rais wa Jamhuri ya kidemokrasia ya Congo Felix Tshisekedi awataka wananchi waliokuwa na ugonjwa wa ebola kuwa na imani na wauuguzi.
Matukio
-
Januari 21, 2021
Sherehe za kuapishwa Joseph Biden Rais wa 46 wa Marekani
-
Januari 16, 2021
Timu ya watafiti kutoka WHO ikiwasili Wuhan
-
Desemba 23, 2020
Malori ya Uingereza yazuiwa kuingia Ufaransa
-
Desemba 18, 2020
Kilichopatikana miaka 10 baada ya mapinduzi ya nchi za Kiarabu
Facebook Forum