Waziri wa uchukuzi wa Ethiopia amesema marubani wa ndege iliyoanguka mwezi tatu, walifanya kila walichotakiwa kufanya kunusuru ndege hiyo ya Boeing 737 Max 8 lakini hawakufanikiwa. Rais wa DRC aahidi kupambana na rushwa , na kuimarisha usalama na haki za kibinadam.