Upatikanaji viungo

Breaking News
Jumatano, Desemba 17, 2025 Local time: 06:10

Mwalimu Peter Tabich aendelea kupongezwa


Mwalimu Peter Tabich aendelea kupongezwa
please wait

No media source currently available

0:00 0:02:04 0:00

Mafanikio ya mwalimu Peter Tabich yanaendelea kuzungumzwa na kusherehekewa sehemu mbalimbali nchini Kenya hususan kwenye shule ya sekondari ya Keriko ambako ndiko anapofundisha.

XS
SM
MD
LG