Maandamano ya kumpinga Rais huyo yameongeza kasi kote nchini na Ufaransa kabla ya siku ya mwisho ya kujiandikisha ambayo ni Jumapili Marchi 3, 2019.
Wa-Algeria waandamana kupinga Bouteflika kugombea muhula wa tano
Wa-Algeria wanamtaka kiongozi ambaye ni mgonjwa muda mrefu Abdelazi Bouteflika, 82 kutogombania tena kiti chake. Maandamano yaliyoanzishwa na wanafunzi wa chuo kikuu cha Algiers tarehe 22Februari 2019 yamedumu kwa siku 11.
9
Polisi na muandamanaji wamsaidia muandamanaji aliyeangukamjini Algiers
10
Rais wa Algeria Abdelaziz Bouteflika, akiwa kwenye kiti cha mgonjwa mjini Algiers, Novemba 23 2017.
Makundi
- Afrika
- Marekani
- Afya
- Hali ya HIV/Ukimwi Afrika
- Uchaguzi Kenya 2013
- Kesi za Wakenya Mbele ya ICC
- Fainali za Kombe la Afrika 2015
- Ziara ya Rais Obama Kenya, Julai 23-26
- Tanzania Yaamua 2015
- Uchaguzi Marekani 2016
- Ziara ya Papa barani Afrika
- Uchaguzi Uganda 2016
- Mauaji Orlando
- YALI 2016
- Rio 2016
- AFCON 2017