Upatikanaji viungo

Breaking News
Jumamosi, Machi 25, 2023 Local time: 17:47

Wajumbe wa Amerika kusini wajadili mzozo wa Venezuela


Wajumbe wa Amerika kusini wajadili mzozo wa Venezuela
please wait

No media source currently available

0:00 0:04:11 0:00

Wajumbe wa baadhi ya nchi za Amerika kusini, wanaounda kundi la Lima, pamoja na Marekani watakutana hii leo katika mji mkuu wa Colombia wa Bogota, ili kujadili mzozo wa kisiasa nchini Venezuela.

XS
SM
MD
LG