Mzozo unaomkabili msanii wa hapa Marekani Jussie Smollett, ulichukuwa mwelekeo mpya jana Alhamisi, baada ya mcheza filamu huyo kufikishwa mahakamani, huku Polisi wakisema wanaushahidi wa kutosha, unaoonyesha kuwa alipanga shambulio lililomlenga yeye mwenyewe.