Upatikanaji viungo

Breaking News
Alhamisi, Aprili 25, 2024 Local time: 18:53

Filippo Grandi asema kuna wakimbizi zaidi ya laki 3 wanaoishi Tanzania


Filippo Grandi asema kuna wakimbizi zaidi ya laki 3 wanaoishi Tanzania
please wait

No media source currently available

0:00 0:01:55 0:00

Migogoro katika nchi za Burundi na Jamhuri ya kidemokrasia ya Kongo ni moja ya changamoto kubwa ambazo jumuiya ya kimataifa inapaswa kuitafutia ufumbuzi, kwani endapo hali ya migogoro hiyo itaendelea nchi hizo zitaendelea kuwa na idadi kubwa ya wakimbizi.

XS
SM
MD
LG