Watu wasiojulikana wavamia hoteli Kenya
Watu wanaosadikiwa kuwa magaidi wamefamia hotel ya Dusit katika jiji la Nairobi . Walioshuhudia janga hilo walisema kuwa wasikia milipuko miwili na kufatiwa na milio ya bunduki. Serikali ya Kenya haijatoa kauli kuhusu shambulio hilo, hata hivyo kikundi cha ugaidi cha Al Shabab wadai ndio wahusika.
Matukio
-
Desemba 23, 2020
Malori ya Uingereza yazuiwa kuingia Ufaransa
-
Desemba 18, 2020
Kilichopatikana miaka 10 baada ya mapinduzi ya nchi za Kiarabu
-
Desemba 12, 2020
Wakimbizi waongezeka katika mji wa Pemba kaskazini mwa Msumbiji
-
Desemba 11, 2020
Rais Mteule wa Marekani Joe Biden amtangaza waziri wa ulinzi
Facebook Forum