Duniani Leo January 14, 2019
Mshitakiwa wa shambulizi la Westgate Mall achiwa huru baada ya kutokutwa na hatia. Shambulizi hilo llilouwa watu 67 ilifanyika mwaka 2013 Nairobi, Kenya. Waziri wa mamboya nje wa Marekani na Mwana mrithi wa ufalme wa Saudia Arabia Mohammed Bin Salman wamekubaliana kusitisha mashambulizi Yemen.
Matukio
-
Januari 16, 2021
Timu ya watafiti kutoka WHO ikiwasili Wuhan
-
Desemba 23, 2020
Malori ya Uingereza yazuiwa kuingia Ufaransa
-
Desemba 18, 2020
Kilichopatikana miaka 10 baada ya mapinduzi ya nchi za Kiarabu
-
Desemba 12, 2020
Wakimbizi waongezeka katika mji wa Pemba kaskazini mwa Msumbiji
Facebook Forum